عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رضي الله عنه، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: (سَبْعَةٌ يُظِلُّهُمُ اللهُ فِي ظِلِّهِ يَوْمَ لَا ظِلَّ إلَّا ظِلُّهُ: الْإِمَامُ الْعَادِلُ، وَشَابٌّ نَشَأَ بِعِبَادَةِ اللهِ عز وجل، وَرَجُلٌ قَلْبُهُ مُعَلَّقٌ فِي الْمَسَاجِدِ، وَرَجُلَانِ تَحَابَّا فِي اللهِ؛ اجْتَمَعَا عَلَيْهِ، وَتَفَرَّقَا عَلَيْهِ، وَرَجُلٌ دَعَتْهُ امْرَأَةٌ ذَاتُ مَنْصِبٍ وَجَمَالٍ، فَقَالَ: إِنِّي أَخَافُ اللهَ، وَرَجُلٌ تَصَدَّقَ بِصَدَقَةٍ، فَأَخْفَاهَا حَتَّى لَا تَعْلَمَ يَمِينُهُ مَا تُنْفِقُ شِمَالُهُ، وَرَجُلٌ ذَكَرَ اللهَ خَالِيًا فَفَاضَتْ عَيْنَاهُ.

00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي

Kwa kutoka kwa Abu Hurairah Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kutoka kwa Mtume Swalla Allaahu alayhi wa sallam amesema: 1- “Watu aina saba Mwenyezi Mungu atawatia kwenye kivuli chake siku ambayo hakuna kivuli ila chake. 2- Imamu Muadilifu 3- Kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. 4- Mtu ambaye moyo wake umefungamana na misikiti. 5- Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. wakakusanyika kwa ajili yake na kutawanyika kwa ajili yake. 6- Mwanaume aliyekaribishwa na mwanamke mwenye cheo na mrembo, akasema: Mimi namuogopa Mwenyezi Mungu. 7- Mtu aliyetoa sadaka na akaificha mpaka mkono wake wa kushoto usijue mkono wake wa kulia unatoa nini. 8- Na mtu aliye mtaja Mwenyezi Mungu kwa siri, mpaka akalia”.


Miradi ya Hadithi