عن ابنِ عُمرَ رضي الله عنهما، أنَّ النبيَّ ﷺ قال: «عَلَى الْمَرْءِ الْمُسْلِمِ السَّمْعُ وَالطَّاعَةُ فِيمَا أَحَبَّ وَكَرِهَ؛ إِلَّا أَنْ يُؤْمَرَ بِمَعْصِيَةٍ، فَإِنْ أُمِرَ بِمَعْصِيَةٍ، فَلَا سَمْعَ وَلَا طَاعَةَ».

Kutoka kwa Ibn Umar, Mwenyezi Mungu awe radhi nao wote wawili, kwamba Mtume, amani iwe juu yake, amesema:  

1- “Muislamu lazima asikilize amri ya Kiongozi na atii   

2- Katika yale anayoyapenda na kuyachukia;  

3- Isipokuwa Uasi, basi ikiwa ataamrishwa kutenda dhambi, hapo hatakiwi kusikiliza wala kutii amri”

عناصر الشرح

Miradi ya Hadithi