عن جَابِر بن عبد الله رضي الله عنهما قال: سَمِعْتُ النَّبِيَّ ﷺ يَقُولُ: «بَيْنَ الرَّجُلِ وَبَيْنَ الشِّرْكِ وَالْكُفْرِ تَرْكُ الصَّلَاةِ»

kutoka kwa Jabir bin Abdillah, Mwenyezi Mungu awe radhi nao wote wawili, amesema:

“Nimemsikia Mtume Rehema na Amani zimshukie akisema: “Baina ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha Swalah” .

Muhtasari wa Maana

Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake) anatufahamisha kuwa swala ni kitenganishi baina ya Uislamu na ukafiri, hivyo mwenye kuacha swala amekufuru.

Miradi ya Hadithi