عَنِ الْمُغِيرَةِ بْنِ شُعْبَةَ رضي الله عنه، عَنِ النَّبِيِّ ﷺ قَالَ: «لَا يَزَالُ طَائِفَةٌ مِنْ أُمَّتِي ظَاهِرِينَ حَتَّى يَأْتِيَهُمْ أَمْرُ اللهِ وَهُمْ ظَاهِرُونَ» وفي رواية: «لَا تَزَالُ طَائِفَةٌ مِنْ أُمَّتِي قَائِمَةً بِأَمْرِ اللهِ لَا يَضُرُّهُمْ مَنْ خَذَلَهُمْ أَوْ خَالَفَهُمْ حَتَّى يَأْتِيَ أَمْرُ اللهِ وَهُمْ ظَاهِرُونَ عَلَى النَّاسِ»



Kutoka kwa Al-Mughira bin Shu’bah Mwenyezi awe radhi naye kutoka kwa Mtume, amani iwe juu yake, ambaye amesema:

“Kundi la umma wangu litaendelea kushinda mpaka iwafikie amri ya Mwenyezi Mungu na hali wao ni washindi” Na katika riwaya nyengine: “Kundi katika ummah wangu litaendelea kushika amri ya Mwenyezi Mungu, na wale wanaowaacha au kuwapinga hawatawadhuru mpaka ifike amri ya Mwenyezi Mungu”

Miradi ya Hadithi