عن زيدِ بنِ ثابتٍ، قال: سمعتُ رسولَ الله ﷺ يقول: «نضَّر اللهُ امرأً سَمِعَ منَّا حديثًا، فحفِظَه حتى يُبلِّغَه؛ فرُبَّ حاملِ فِقهٍ إلى مَن هو أفقهُ منه،ورُبَّ حاملِ فِقهٍ ليس بفقيهٍ».

00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي
00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي

Kutoka kwa Zaid ibn Thabit radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake amesema: nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani ziwe juu yake akisema: 

1. Mwenyezi Mungu amnawirishe mtu yeyote atakaesikia maneno kutoka kwetu, na akayahifadhi kwa ajili ya kuwafikishia watu wengine; 

2. Basi huwenda msikilizaji (aliehifadhi vizuri) akawa sio mjuzi zaidi lakini kwa kuhifadhi kwake akawafikishia wengine ambao ni wajuzi zaidi katika kutohoa hukumu za kisheria kuliko yeye. 

. Na huwenda msikilizaji akawa sio msomi zaidi 

Miradi ya Hadithi