عَنْ جَابِرِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ رضي الله عنهما، أَنَّهُ سَمِعَ رَسُولَ اللَّهِ ﷺ  يَقُولُ عَامَ الفَتْحِ وَهُوَ بِمَكَّةَ:  «إِنَّ اللَّهَ وَرَسُولَهُ حَرَّمَ بَيْعَ الخَمْرِ،  وَالْمَيْتَةِ،  وَالخِنْزِيرِ،  وَالأَصْنَامِ»،  فَقِيلَ: يَا رَسُولَ اللَّهِ، أَرَأَيْتَ شُحُومَ الْمَيْتَةِ؛ فَإِنَّهَا يُطْلَى بِهَا السُّفُنُ، وَيُدْهَنُ بِهَا الجُلُودُ، وَيَسْتَصْبِحُ بِهَا النَّاسُ؟ فَقَالَ: «لَا، هُوَ حَرَامٌ»،  ثُمَّ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ﷺ عِنْدَ ذَلِكَ: «قَاتَلَ اللَّهُ اليَهُودَ؛ إِنَّ اللَّهَ لَمَّا حَرَّمَ شُحُومَهَا، جَمَلُوهُ، ثُمَّ بَاعُوهُ، فَأَكَلُوا ثَمَنَهُ»

00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي
00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي

Kutoka kwa Jabir bin Abdullah, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kwamba alimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie akisema, katika mwaka wa Ushindi, alipokuwa Makka:

“Mwenyezi Mungu na Mtume wake wamekataza uuzaji wa pombe. mizoga, Na nguruwe, Masanamu, Ikasemwa: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, je unayaonaje mafuta ya mzoga? Kwani mafuta hayo hupakwa meli, ngozi, na watu wanayatumia kama mafuta ya taa? Akasema: Hapana, ni haramu. Kisha akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu wakati huo: “Mwenyezi Mungu amewalaani Mayahudi; Hakika Mwenyezi Mungu alipokataza mafuta yake, waliyayeyusha, kisha wakaiuza, na wakala thamani yake.

 


Mwongozo wa Hadithi

.

Miradi ya Hadithi