عَنْ جَابِرِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ رضي الله عنهما، أَنَّهُ سَمِعَ رَسُولَ اللَّهِ ﷺ  يَقُولُ عَامَ الفَتْحِ وَهُوَ بِمَكَّةَ:  «إِنَّ اللَّهَ وَرَسُولَهُ حَرَّمَ بَيْعَ الخَمْرِ،  وَالْمَيْتَةِ،  وَالخِنْزِيرِ،  وَالأَصْنَامِ»،  فَقِيلَ: يَا رَسُولَ اللَّهِ، أَرَأَيْتَ شُحُومَ الْمَيْتَةِ؛ فَإِنَّهَا يُطْلَى بِهَا السُّفُنُ، وَيُدْهَنُ بِهَا الجُلُودُ، وَيَسْتَصْبِحُ بِهَا النَّاسُ؟ فَقَالَ: «لَا، هُوَ حَرَامٌ»،  ثُمَّ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ﷺ عِنْدَ ذَلِكَ: «قَاتَلَ اللَّهُ اليَهُودَ؛ إِنَّ اللَّهَ لَمَّا حَرَّمَ شُحُومَهَا، جَمَلُوهُ، ثُمَّ بَاعُوهُ، فَأَكَلُوا ثَمَنَهُ»

Kutoka kwa Jabir bin Abdullah, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kwamba alimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie akisema, katika mwaka wa Ushindi, alipokuwa Makka:

“Mwenyezi Mungu na Mtume wake wamekataza uuzaji wa pombe. mizoga, Na nguruwe, Masanamu, Ikasemwa: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, je unayaonaje mafuta ya mzoga? Kwani mafuta hayo hupakwa meli, ngozi, na watu wanayatumia kama mafuta ya taa? Akasema: Hapana, ni haramu. Kisha akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu wakati huo: “Mwenyezi Mungu amewalaani Mayahudi; Hakika Mwenyezi Mungu alipokataza mafuta yake, waliyayeyusha, kisha wakaiuza, na wakala thamani yake.

 


Tafsiri za Hadithi

عَنْ جَابِرِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ رضي الله عنهما، أَنَّهُ سَمِعَ رَسُولَ اللَّهِ ﷺ  يَقُولُ عَامَ الفَتْحِ وَهُوَ بِمَكَّةَ:  «إِنَّ اللَّهَ وَرَسُولَهُ حَرَّمَ بَيْعَ الخَمْرِ،  وَالْمَيْتَةِ،  وَالخِنْزِيرِ،  وَالأَصْنَامِ»،  فَقِيلَ: يَا رَسُولَ اللَّهِ، أَرَأَيْتَ شُحُومَ الْمَيْتَةِ؛ فَإِنَّهَا يُطْلَى بِهَا السُّفُنُ، وَيُدْهَنُ بِهَا الجُلُودُ، وَيَسْتَصْبِحُ بِهَا النَّاسُ؟ فَقَالَ: «لَا، هُوَ حَرَامٌ»،  ثُمَّ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ﷺ عِنْدَ ذَلِكَ: «قَاتَلَ اللَّهُ اليَهُودَ؛ إِنَّ اللَّهَ لَمَّا حَرَّمَ شُحُومَهَا، جَمَلُوهُ، ثُمَّ بَاعُوهُ، فَأَكَلُوا ثَمَنَهُ»

Jābir ibn ‘Abdullāh narrated that he heard God’s Messenger (peace be upon him) say when in Makkah during the Year of Victory:  1. God and His Messenger have forbidden the sale of wine,  2. carrion,  3. pork  4. and idols.  5. People said: ‘Messenger of God, the fat of carrion is used as a coating for boats, varnishing hide and people use it in their lanterns?’ The Prophet said: ‘No. It is forbidden’.  6. God’s Messenger then said: ‘May God curse the Jews. When God, Mighty and Exalted, forbade them the fat of carrion, they melted it and sold it, devouring its price’.  Related by al-Bukhari, 2236; Muslim, 1581.

Jabir Ibn ‘Abd Allah, qu’Allah a agréé, entendit le Messager d’Allah dire à La Mecque, l’ année de la prise de La Mecque : « Allah et Son Messager ont déclaré illicite la vente de vin, la chair des bêtes trouvées mortes, la chair de porc, et les idoles ».  On lui demanda : Ô Messager d’Allah , que dis-tu de la graisse des bêtes trouvées mortes, car on en badigeonne les  navires, on en enduit le cuir, et les gens l’ utilisent pour s’ éclairer. Il répondit : « Non, c’est illicite ». 6. Puis le Messager d’Allah« Qu’ Allah combatte les juifs. Lorsque Allah déclara cette graisse illicite, ils la firent alors fondre, la vendirent et dépensèrent le prix qu’ils en tir èrent»

Dari Jabir bin Abdillah i bahwasanya beliau mendengar Rasulullah g bersabda pada tahun pembebasan kota Makkah ketika itu Nabi berada di Makkah, 1. “Sesungguhnya Allah dan Rasul-Nya mengharamkan jual beli khamar, 2. bangkai, 3. babi, 4. dan patung.” 5. Lalu ditanyakan kepada beliau, “Wahai Rasulullah, bagaimana dengan lemak bangkai? Karena lemak tersebut dapat digunakan untuk memoles kapal, menyamak kulit, dan orang-orang menggunakannya untuk lentera mereka.” Rasulullah  bersabda, “Tidak, itu haram.”  6. Ketika itu, Rasulullah g bersabda, “Semoga Allah membinasakan orang-orang Yahudi, ketika Allah mengharamkan lemak binatang, mereka mencairkannya, kemudian menjualnya dan memakan hasil dari penjualannya.

Kutoka kwa Jabir bin Abdullah, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kwamba alimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie akisema, katika mwaka wa Ushindi, alipokuwa Makka: “Mwenyezi Mungu na Mtume wake wamekataza uuzaji wa pombe. mizoga, Na nguruwe, Masanamu, Ikasemwa: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, je unayaonaje mafuta ya mzoga? Kwani mafuta hayo hupakwa meli, ngozi, na watu wanayatumia kama mafuta ya taa? Akasema: Hapana, ni haramu. Kisha akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu wakati huo: “Mwenyezi Mungu amewalaani Mayahudi; Hakika Mwenyezi Mungu alipokataza mafuta yake, waliyayeyusha, kisha wakaiuza, na wakala thamani yake. 

Miradi ya Hadithi