عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رضي الله عنه، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: (سَبْعَةٌ يُظِلُّهُمُ اللهُ فِي ظِلِّهِ يَوْمَ لَا ظِلَّ إلَّا ظِلُّهُ: الْإِمَامُ الْعَادِلُ، وَشَابٌّ نَشَأَ بِعِبَادَةِ اللهِ عز وجل، وَرَجُلٌ قَلْبُهُ مُعَلَّقٌ فِي الْمَسَاجِدِ، وَرَجُلَانِ تَحَابَّا فِي اللهِ؛ اجْتَمَعَا عَلَيْهِ، وَتَفَرَّقَا عَلَيْهِ، وَرَجُلٌ دَعَتْهُ امْرَأَةٌ ذَاتُ مَنْصِبٍ وَجَمَالٍ، فَقَالَ: إِنِّي أَخَافُ اللهَ، وَرَجُلٌ تَصَدَّقَ بِصَدَقَةٍ، فَأَخْفَاهَا حَتَّى لَا تَعْلَمَ يَمِينُهُ مَا تُنْفِقُ شِمَالُهُ، وَرَجُلٌ ذَكَرَ اللهَ خَالِيًا فَفَاضَتْ عَيْنَاهُ.

Kwa kutoka kwa Abu Hurairah Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kutoka kwa Mtume Swalla Allaahu alayhi wa sallam amesema: 1- “Watu aina saba Mwenyezi Mungu atawatia kwenye kivuli chake siku ambayo hakuna kivuli ila chake. 2- Imamu Muadilifu 3- Kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. 4- Mtu ambaye moyo wake umefungamana na misikiti. 5- Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. wakakusanyika kwa ajili yake na kutawanyika kwa ajili yake. 6- Mwanaume aliyekaribishwa na mwanamke mwenye cheo na mrembo, akasema: Mimi namuogopa Mwenyezi Mungu. 7- Mtu aliyetoa sadaka na akaificha mpaka mkono wake wa kushoto usijue mkono wake wa kulia unatoa nini. 8- Na mtu aliye mtaja Mwenyezi Mungu kwa siri, mpaka akalia”.


Tafsiri za Hadithi

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رضي الله عنه، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: (سَبْعَةٌ يُظِلُّهُمُ اللهُ فِي ظِلِّهِ يَوْمَ لَا ظِلَّ إلَّا ظِلُّهُ: الْإِمَامُ الْعَادِلُ، وَشَابٌّ نَشَأَ بِعِبَادَةِ اللهِ عز وجل، وَرَجُلٌ قَلْبُهُ مُعَلَّقٌ فِي الْمَسَاجِدِ، وَرَجُلَانِ تَحَابَّا فِي اللهِ؛ اجْتَمَعَا عَلَيْهِ، وَتَفَرَّقَا عَلَيْهِ، وَرَجُلٌ دَعَتْهُ امْرَأَةٌ ذَاتُ مَنْصِبٍ وَجَمَالٍ، فَقَالَ: إِنِّي أَخَافُ اللهَ، وَرَجُلٌ تَصَدَّقَ بِصَدَقَةٍ، فَأَخْفَاهَا حَتَّى لَا تَعْلَمَ يَمِينُهُ مَا تُنْفِقُ شِمَالُهُ، وَرَجُلٌ ذَكَرَ اللهَ خَالِيًا فَفَاضَتْ عَيْنَاهُ.

Abu Hurayrah narrated that God’s Messenger (peace be upon him) said:   Seven types of people will be under God’s shade on the Day when there is no shade other than His:  a just ruler  a young person brought up attending to the worship of God.  a person whose heart is attached to the mosques.  two people who love each other for God’s sake: they uphold it when they meet and when they part. a man who is tempted by a woman who combines power with beauty, but he says: 'I fear Allah.'  a person who gives a ṣadaqah in secret, concealing it to the extent that his left hand does not know what his right hand has given. and a person who remembers God when alone and his eyes are tearful [in fear of Him].

Abou Hourayra, qu’Allah a agréé, rapporte que le Prophète ﷺ a dit : 1- « Il y a sept hommes qu’Allah abritera sous Son ombre le jour où il n’y aura pas d’autre ombre que la Sienne : 2- le dirigeant équitable, 3- un jeune qui a grandi dans l’adoration d’Allah – exalté soit-Il, 4- un homme dont le cœur est attacéhaux mosquées, 5- deux hommes qui s’aiment pour Allah, se réunissent ainsi et se séparent ainsi, 6- un homme qu’une femme de ransgocial élevé et de grande beauté invite [à forniquer] et qui lui répond : "Je crains Allah", 7- un homme qui fait une aumône et la dissimule au point que sa main droite ne sait pas ce que sa main gauche dépense, 8- et un homme qui évoque Allah dans la solitude et dont les yeux versent des larmes »

Dari Abu Hurairah, dari Nabi, beliau bersabda, 1. “Ada tujuh golongan yang akan dinaungi oleh Allah pada hari yang tidak ada naungan kecuali naungan-Nya: 2. Pemimpin yang adil; 3. Pemuda yang tumbuh rajin beribadah kepada Allah; 4. Laki-laki yang hatinya selalu terpaut dengan masjid; 5. Dua orang mencintai karena Allah, keduanya berkumpul dan berpisah karena-Nya; 6. Laki-laki yang diajak (berbuat keji) oleh seorang wanita terhormat lagi cantik, lalu ia berkata ‘Sungguh aku takut kepada Allah’; 7. Laki-laki yang bersedekah, lalu ia menyembunyikannya, sampai-sampai tangan kirinya tidak mengetahui apa yang diinfakkan oleh tangan kanannya; 8. Dan laki-laki yang berzikir kepada Allah dalam kesendiriannya, lantas kedua air matanya mengalir.”

Kwa kutoka kwa Abu Hurairah Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kutoka kwa Mtume Swalla Allaahu alayhi wa sallam amesema: 1- “Watu aina saba Mwenyezi Mungu atawatia kwenye kivuli chake siku ambayo hakuna kivuli ila chake. 2- Imamu Muadilifu 3- Kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. 4- Mtu ambaye moyo wake umefungamana na misikiti. 5- Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. wakakusanyika kwa ajili yake na kutawanyika kwa ajili yake. 6- Mwanaume aliyekaribishwa na mwanamke mwenye cheo na mrembo, akasema: Mimi namuogopa Mwenyezi Mungu. 7- Mtu aliyetoa sadaka na akaificha mpaka mkono wake wa kushoto usijue mkono wake wa kulia unatoa nini. 8- Na mtu aliye mtaja Mwenyezi Mungu kwa siri, mpaka akalia”.

Miradi ya Hadithi