عن ابن عمرَ وأبي هُريرةَ رضي الله عنهم، أنهما سَمعا رسولَ الله يقولُ على أعوادِ مِنْبَرِه: «لَيَنْتَهِيَنَّ أقْوامٌ عن وَدْعِهمُ الجُمُعاتِ، أو لَيَخْتِمَنَّ اللهُ على قُلوبِهم، ثم لَيَكونُنَّ منَ الغافِلينَ»

Kutoka kwa Ibn Umar na Abu Hurayrah, Mwenyezi Mungu awe radhi nao, kwamba walimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie akisema akiwa juu ya mimbari yake:

“Watu wakome kuacha Swalah ya Ijumaa. Au Mwenyezi Mungu atawapiga muhuri katika nyoyo zao, kisha wawe miongoni mwa walioghafilika”

Tafsiri za Hadithi

عن ابن عمرَ وأبي هُريرةَ رضي الله عنهم، أنهما سَمعا رسولَ اللهﷺ يقولُ على أعوادِ مِنْبَرِه: «لَيَنْتَهِيَنَّ أقْوامٌ عن وَدْعِهمُ الجُمُعاتِ، أو لَيَخْتِمَنَّ اللهُ على قُلوبِهم، ثم لَيَكونُنَّ منَ الغافِلينَ»

‘Abdullāh ibn ‘Umar and Abu Hurayrah narrated that they both heard God’s Messenger (peace be upon him) say as he was standing on the steps of his platform: Some people shall stop neglecting Friday Prayer or else God will seal their hearts and then they will be among the heedless. Related by Muslim, 865.

‘Abd Allah Ibn ‘Omar et Abou Hourayra – qu’Allah a agréés – rapportent qu’ils ont entendu le Messager d’Allah‘‘ Que des gens cessent de délaisser les prières du vendredi, ou bien Allah scellera assurément leurs cœurs, puis ils feront certes partie des distraits’’

Dari Ibnu Umardan Abu Hurairah , bahwasanya keduanya mendengar Rasulullah  bersabda di atas mimbar kayunya, “Hendaklah sekelompok orang berhenti dari kebiasaan mereka meninggalkan shalat Jumat, atau Allah akan mengunci hati-hati mereka, kemudian mereka benar-benar menjadi orang yang lalai.”

Kutoka kwa Ibn Umar na Abu Hurayrah, Mwenyezi Mungu awe radhi nao, kwamba walimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie akisema akiwa juu ya mimbari yake: “Watu wakome kuacha Swalah ya Ijumaa. Au Mwenyezi Mungu atawapiga muhuri katika nyoyo zao, kisha wawe miongoni mwa walioghafilika”

Miradi ya Hadithi