عنْ أَبي سَعيدٍ وأَبي هُرَيْرة - رضيَ اللَّه عَنْهُمَا - عن النَّبيِّ قَالَ: «مَا يُصِيبُ الْمُسْلِمَ مِنْ نَصَبٍ وَلا وَصَبٍ وَلا هَمٍّ وَلا حَزَنٍ وَلا أَذًى وَلا غمٍّ، حتَّى الشَّوْكَةُ يُشَاكُها، إِلَّا كفَّر اللَّه بهَا مِنْ خطَايَاه»

Kutoka kwa Abu Said na Abu Hurara – Mwenyezi Mungu awe radhi nao – kutoka kwa Mtume Swalla Allaahu alayhi wa sallam amesema: “Haimpati mwislamu uchovu, wala maradhi, wasiwasi, huzuni, maumivu, au dhiki. inayompata Mwislamu. Hata kuchomwa kwake na mwiba, ispokuwa Mwenyezi Mungu atamfutia baadhi ya dhambi zake kwa ajili yake.” 

Muhtasari wa Maana

Kila jambo la Muislamu ni kheri kwake, akisamehewa anashukuru, basi atalipwa kheri yake, na akipatwa na hata mwiba katika kidole chake, Mungu humfutia dhambi kwa hilo.

Miradi ya Hadithi