عَنْ عَائِشَةَ رضي الله عنها، قَالَتْ: قَالَ رَسُولُ اللهِ :«عَشْرٌ مِنَ الْفِطْرَةِقَصُّ الشَّارِبِ، وَإِعْفَاءُ اللِّحْيَةِ، وَالسِّوَاكُ، وَاسْتِنْشَاقُ الْمَاءِ، وَقَصُّ الْأَظْفَارِ، وَغَسْلُ الْبَرَاجِمِ، وَنَتْفُ الْإِبِطِ، وَحَلْقُ الْعَانَةِ، وَانْتِقَاصُ الْمَاءِ». قَالَ مُصْعَبٌ: وَنَسِيتُ الْعَاشِرَةَ إِلَّا أَنْ تَكُونَ الْمَضْمَضَةَ

Kutoka kwa Aisha, (Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (Rehema na amani ziwe juu yake) amesema:

1- “Mambo kumi ni ya kimaumbile” 

 2- Kukata masharubu, 

 3- kuacha ndevu zikue, 

 4- Kupiga mswaki, 

 5- Kupandisha maji puani, 

 6- Kukata kucha, 

 7- Kuosha nafasi za vidole. 

 8- kunyofoa nywele za kwapa, 

 9- Kunyoa sehemu za siri 

 10- Kustanji”. 

 11- Musab akasema: Nimesahau la kumi ila nahisi ni kusukutua kinywa .

Muhtasari wa Maana

Bedui mmoja alimuuliza Mtume (Rehema na amani ziwe juu yake), kuhusu Uislamu, alimwambia kuhusu nguzo zake zinazojulikana sana, atakayezitekeleza ipasavyo, bila ya kuongeza wala kupunguza, basi atafaulu na kuingia Peponi. 

Miradi ya Hadithi