عَنْ أَنَسِ بْن مَالِكٍ رضى الله عنه، أَنَّ النَّبِيَّ ﷺ قَالَ: «العَبْدُ إِذَا وُضِعَ فِي قَبْرِهِ، وَتَوَلَّى وَذَهَبَ أَصْحَابُهُ حَتَّى إِنَّهُ لَيَسْمَعُ قَرْعَ نِعَالِهِمْ، أَتَاهُ مَلَكَانِ، فَأَقْعَدَاهُ، فَيَقُولانِ لَهُ: مَا كُنْتَ تَقُولُ فِي هَذَا الرَّجُلِ مُحَمَّدٍ ﷺ؟ فَيَقُولُ: أَشْهَدُ أَنَّهُ عَبْدُ اللَّهِ وَرَسُولُهُ، فَيُقَالُ: انْظُرْ إِلَى مَقْعَدِكَ مِنَ النَّارِ أَبْدَلَكَ اللَّهُ بِهِ مَقْعَدًا مِنَ الجَنَّةِ، قَالَ النَّبِيُّ ﷺ: فَيَرَاهُمَا جَمِيعًا، وَأَمَّا الكَافِرُ - أَوِ المُنَافِقُ - فَيَقُولُ: لا أَدْرِي، كُنْتُ أَقُولُ مَا يَقُولُ النَّاسُ، فَيُقَالُ: لا دَرَيْتَ وَلا تَلَيْتَ، ثُمَّ يُضْرَبُ بِمِطْرَقَةٍ مِنْ حَدِيدٍ ضَرْبَةً بَيْنَ أُذُنَيْهِ، فَيَصِيحُ صَيْحَةً يَسْمَعُهَا مَنْ يَلِيهِ إِلَّا الثَّقَلَيْنِ». 

Kutoka kwa Anas bin Malik Mwenyezi Mungu awe radhi naye kwamba Mtume Rehma na Amani zimshukie amesema:

“Anapowekwa mja kaburini mwake na wakageuka na kuondoka Ndugu zake, na akasikia mchakato wa viatu vyao vikigonga.Watamuijia Malaika wawili, watamkalisha, na watamuuliza: Unasemaje kuhusu mtu huyu, yaani Muhammad Rehma na Amani zimshukie?Atasema Muumini: Nashuhudia kwamba yeye ni mja wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hapo ataambiwa: Tazama makazi yako ya motoni, Mwenyezi Mungu amekubadilishia kwa kukupa makazi mazuri peponi, akasema Mtume Rehma na Amani zimshukie: ataonyeshwa makazi yote mawili.Lakini kafiri - au mnafiki - atasema: Mimi sijui, nilikuwa nikisema yale waliyoyasema watu.Ataambiwa: Hukujua wala hukusoma.Kisha atapigwa nyundo ya chuma baina ya masikio yake, na atapiga ukelele utakaosikika kwa wanaomfuatia isipokuwa watu na majini.”

Tafsiri za Hadithi

عَنْ أَنَسِ بْن مَالِكٍ رضى الله عنه، أَنَّ النَّبِيَّ ﷺ قَالَ: «العَبْدُ إِذَا وُضِعَ فِي قَبْرِهِ، وَتَوَلَّى وَذَهَبَ أَصْحَابُهُ حَتَّى إِنَّهُ لَيَسْمَعُ قَرْعَ نِعَالِهِمْ، أَتَاهُ مَلَكَانِ، فَأَقْعَدَاهُ، فَيَقُولانِ لَهُ: مَا كُنْتَ تَقُولُ فِي هَذَا الرَّجُلِ مُحَمَّدٍ ﷺ؟ فَيَقُولُ: أَشْهَدُ أَنَّهُ عَبْدُ اللَّهِ وَرَسُولُهُ، فَيُقَالُ: انْظُرْ إِلَى مَقْعَدِكَ مِنَ النَّارِ أَبْدَلَكَ اللَّهُ بِهِ مَقْعَدًا مِنَ الجَنَّةِ، قَالَ النَّبِيُّ ﷺ: فَيَرَاهُمَا جَمِيعًا، وَأَمَّا الكَافِرُ - أَوِ المُنَافِقُ - فَيَقُولُ: لا أَدْرِي، كُنْتُ أَقُولُ مَا يَقُولُ النَّاسُ، فَيُقَالُ: لا دَرَيْتَ وَلا تَلَيْتَ، ثُمَّ يُضْرَبُ بِمِطْرَقَةٍ مِنْ حَدِيدٍ ضَرْبَةً بَيْنَ أُذُنَيْهِ، فَيَصِيحُ صَيْحَةً يَسْمَعُهَا مَنْ يَلِيهِ إِلَّا الثَّقَلَيْنِ». 

Anas ibn Mālik narrated that the Prophet (peace be upon him) said: When a man is laid in his grave, and his friends turn away, he hears the noise of their shoes. Two angels come to him and sit him up. They ask him: ‘What did you say about this man, Muhammad?’  He said: “As for the believer, he will say: I bear witness that he is God’s servant and Messenger”. He will be told: “Look at your place in Hell. God has replaced it for you with a seat in Heaven”. The Prophet said: “He will see both”. As for the unbeliever, or the hypocrite, he will say: I do not know. I said what other people said.  He will be told: May you have never known or said.  He will then be hit by an iron hammer in between his ears. He shall send out a cry which will be heard by those close to him, but not by humans or jinn.   Related by al-Bukhari, 1338; Muslim, 2870.

Anas ibn Malik, dont Allah est satisfait, rapporte que le Prophète a dit :« Lorsque le serviteur est placé dans sa tombe et que ses amis le quittent et s’en vonett, qu’il entend les bruits de leurs sandales sur le sol,deux anges viendront à lui, le feront asseoir et lui diront : Que disais-tu au sujet de cet homme Mohammad ?Il répondra : J’atteste qu’il est le serviteur d’Allah et Son Messager. On lui dira ensuite : Vois ton emplacement dans le Feu qu’Allah a échangé pour toi en emplacement dans le Paradi»s. Le Prophète dit ensuite : « Et il les verra tous les deux ».Quant au mécréant – ou l’hypocrite – il dira : Je ne sais pas, je disais ce que disaient les gens.On lui dira : Puisses-tu ne pas avoir su ni avoir récité.Puis on le frappera une fois avec un maillet de fer entre les oreilles et il poussera un cri que tous ceux qui sont à proximité de lui entendront, à l’exception des deux mondes »

Dari Anas bin Malik رضي الله عنه, bahwa Nabi ﷺ bersabda  “Apabila seorang hamba yang sudah dimasukkan ke dalam kuburnya, kawan-kawannya pergi meninggalkannya, hingga ia benar-benar mendengar derap sandal mereka. datanglah dua sosok malaikat, keduanya menyuruh hamba tadi duduk lalu berkata, ‘Apa pendapatmu tentang laki-laki yang bernama Muhammad ini?’Ia menjawab, ‘Aku bersaksi bahwa beliau hamba Allah dan utusan-Nya.’ Lalu disampaikan kepadanya, ‘Lihatlah tempatmu sebenarnya di neraka, lalu Allah gantikan dengan surga.’ Lantas Nabi bersabda, ‘Ia pun melihat kedua-duanya.’Adapun orang kafir -atau munafik- ia akan menjawab, ‘Aku tidak tahu, aku hanya ikut-ikutan apa yang dikatakan manusia.’Lalu disampaikan kepadanya, ‘Kamu tidak tahu, tidak pula membacanya.’Kemudian ia dipukul satu kali dengan palu terbuat dari besi di antara kedua telinganya, sontak ia berteriak keras hingga terdengar yang berdekatan dengannya kecuali manusia dan jin.”

Kutoka kwa Anas bin Malik Mwenyezi Mungu awe radhi naye kwamba Mtume Rehma na Amani zimshukie amesema:“Anapowekwa mja kaburini mwake na wakageuka na kuondoka Ndugu zake, na akasikia mchakato wa viatu vyao vikigonga.Watamuijia Malaika wawili, watamkalisha, na watamuuliza: Unasemaje kuhusu mtu huyu, yaani Muhammad Rehma na Amani zimshukie?Atasema Muumini: Nashuhudia kwamba yeye ni mja wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hapo ataambiwa: Tazama makazi yako ya motoni, Mwenyezi Mungu amekubadilishia kwa kukupa makazi mazuri peponi, akasema Mtume Rehma na Amani zimshukie: ataonyeshwa makazi yote mawili.Lakini kafiri - au mnafiki - atasema: Mimi sijui, nilikuwa nikisema yale waliyoyasema watu.Ataambiwa: Hukujua wala hukusoma.Kisha atapigwa nyundo ya chuma baina ya masikio yake, na atapiga ukelele utakaosikika kwa wanaomfuatia isipokuwa watu na majini.”

Miradi ya Hadithi