عن أنس رضي الله عنه قال: قَدِمَ رسولُ الله ﷺ المدينةَ ولهم يومانِ يَلعبون فيهما، فقال: «ما هذانِ اليومانِ؟!» قالوا: كنا نلعَب فيهما في الجاهلية، فقال رسول الله ﷺ: «إن الله قد أبدلَكم بهما خيرًا منهما؛ يومَ الأضحى، ويومَ الفِطر»

Kutoka kwa Anas amesema:

“Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na amani zimshukie alikuja Madina na watu wa madina walikuwa na siku mbili za kucheza sikukuu, akasema Mtume: “Siku mbili hizi ni zipi?” Wakasema: Tulikuwa tukisherekea kabla ya Uislamu, basi Mtume wa Mwenyezi Mungu Rehma na Amani ziwe juu yake akasema: “Mwenyezi Mungu amewabadilishia kwa kilicho bora kuliko hizo siku mbili; Siku ya al-Adh-haa na siku ya al-Fitwr.”

Tafsiri za Hadithi

عن أنس رضي الله عنه قال: قَدِمَ رسولُ الله ﷺ المدينةَ ولهم يومانِ يَلعبون فيهما، فقال: «ما هذانِ اليومانِ؟!» قالوا: كنا نلعَب فيهما في الجاهلية، فقال رسول الله ﷺ: «إن الله قد أبدلَكم بهما خيرًا منهما؛ يومَ الأضحى، ويومَ الفِطر»

Anas ibn Mālik narrated saying:  When God’s Messenger (peace be upon him) migrated to Madinah, its people used to celebrate two days. He asked: ‘What are these two days about?’ They said: ‘We used to celebrate them prior to Islam’. God’s Messenger said: ‘God has replaced them for you with two better days: the Day of [Eid] al-Aḍḥā and the Day of [Eid] al-Fiṭr’. Related by Abu Dāwūd, 1134; al-Nasāʼī, 1556.

Anas Ibn Malik, qu’Allah a agréé, a dit :Lorsque le Messager d’Allah arriva à Médine, il apprit que ses habitants avaient deux jours durant lesquels ils se divertissaient et il demanda : ‘‘ Quels sont ces deux jours ? ’’. On lui répondit : Ce sont deux jours au cours desquels nous dansions à l’époque préislamique. Le Messager d’Allah dit alors : ‘‘ Allah vous les a remplacés par deux jours meilleurs : le jour du sacrifice et le jour de la fin du jeûne ’’.

Dari Anas , beliau berkata, “Rasulullah tiba di Madinah, kala itu penduduknya memiliki dua hari yang digunakan untuk bermain-main, lalu beliau bersabda, ‘Dua hari apakah ini?’ Mereka menjawab, ‘Dahulu pada masa jahiliah, kami biasa bermain-main pada dua hari ini.’ Lantas Rasulullah bersabda, ‘Sesungguhnya Allah telah mengganti untuk kalian dua hari yang lebih baik yaitu Idul Fitri dan Idul Adha.

Kutoka kwa Anas amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na amani zimshukie alikuja Madina na watu wa madina walikuwa na siku mbili za kucheza sikukuu, akasema Mtume: “Siku mbili hizi ni zipi?” Wakasema: Tulikuwa tukisherekea kabla ya Uislamu, basi Mtume wa Mwenyezi Mungu Rehma na Amani ziwe juu yake akasema: “Mwenyezi Mungu amewabadilishia kwa kilicho bora kuliko hizo siku mbili; Siku ya al-Adh-haa na siku ya al-Fitwr.”

Miradi ya Hadithi