عَنْ أَنَسِ بْن مَالِكٍ رضي الله عنه، أَنَّ النَّبِيَّ قَالَ: «كُلُّ ابْنِ آدَمَ خَطَّاءٌ، وَخَيْرُ الخَطَّائِينَ التَّوَّابُونَ»

00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي

Kutoka kwa Anas bin Malik, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kwamba Mtume Swalla Allaahu alayhi wasallam amesema: 1- “Kila mwana wa Adamu ni mwenye dhambi. 2- Na wabora wa wakosefu ni wale wanaotubu”.


Miradi ya Hadithi