عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرٍو رضي الله عنهما، أَنَّ النَّبِيَّ ﷺ، قَالَ: «بَلِّغُوا عَنِّي وَلَوْ آيَةً، وَحَدِّثُوا عَنْ بَنِي إِسْرَائِيلَ وَلاَ حَرَجَ، وَمَنْ كَذَبَ عَلَيَّ مُتَعَمِّدًا، فَلْيَتَبَوَّأْ مَقْعَدَهُ مِنَ النَّارِ».

00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي
00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي

Kutoka kwa Abdullah bin Amr, Mwenyezi Mungu awe radhi nao wote wawili, kwamba Mtume, rehma na amani zimshukie, amesema:

1- “Fikisha kwa niaba yangu hata ikiwa ni Aya. 

2- Na simulieni kwa niaba ya Wana wa Israili, wala hakuna ubaya ndani yake. 

3- Na mwenye kunisingizia uwongo kwa makusudi basi na ajiandalie makao yake Motoni.” 

Miradi ya Hadithi