عَنْ تَمِيمٍ الدَّارِيِّ رضى الله عنه أَنَّ النَّبِيَّ قَالَ: «الدِّينُ النَّصِيحَةُ»، قُلْنَا: لِمَنْ؟ قَالَ: «لِلَّهِ، وَلِكِتَابِهِ،وَلِرَسُولِهِ،وَلِأَئِمَّةِ الْمُسْلِمِينَ، وَعَامَّتِهِمْ»


Kutoka kwa Tamim al-Dari (Radhi za Mwenyezi ziwe juu yakr) kwamba Mtume (Rehma na Amani zimshukie) amesema:1."Dini ni kunasihiana" 2.  Tukasema:

Kwa ajili ya nani? 3.Akasema: “Kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,4.Na kwa kitabu chake. 5.Na kwa Mtume wake. 6.Kwa viongozi wa Waislamu. 7. Na watu wote”.

Muhtasari wa Maana

Mtume (Radhi Za Mwenyezi Mungu Ziwe Juu Yake) anathibitisha kwamba dini ni kushauriana na kunasihiana, kwa mtu kufanya anayoyaweza katika kutekeleza haki za Mwenyezi Mungu, na kitabu chake, na Mtume wake, viongozi wa Waislamu na watu wote.

Miradi ya Hadithi