108 - MGAWANYIKO WA WATU KATIKA WAHYI (UFUNUO)

عن أبي موسى الأشعريِّ، عن النبيِّ ﷺ قال:«مَثَلُ ما بعَثَني اللهُ به من الهُدى والعِلم، كمَثَل الغَيث الكثيرِ أصاب أرضًا: فكان منها نَقِيَّةٌ، قبِلَت الماءَ، فأنبتَت الكَلَأَ والعُشبَ الكثير، وكانت منها أجادبُ، أمسكت الماءَ، فنفعَ اللهُ بها الناسَ، فشَرِبوا وسَقَوْا وزرعوا، وأصابت منها طائفةٌ أخرى، إنما هي قِيعانٌ لا تُمسِك ماءً ولا تُنبتُ كلأً، فذلك مثَلُ مَن فَقُه في دِين الله، ونفَعه ما بعَثَني الله به فعَلِم وعَلَّم، ومَثلُ مَن لم يرفَعْ بذلك رأسًا، ولم يَقبَلْ هُدى الله الذي أُرسِلْتُ به» متفق عليه.

Kutoka kwa Abuu Mussa Al-Ash-Ariyy (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema,

1. Mfano wa aliyonituma kwayo Allah (s.w) miongoni mwa uongofu na elimu, ni kama mfano wa mvua nyingi iliyonyesha katika Ardhi Fulani, 

2. Ikawa Ardhi hiyo ni safi ikapokea maji na kuotesha mazao na mimea. 

3. Na ikawa sehemu nyingine ni kavu ikapokea maji, na Mwenyezi Mungu akawanufaisha watu kwa mvua hiyo wakanywa na wakanywesheleza mifugo na wakalima mazao. 

4. Na ikanyesha sehemu nyingine ya ardhi, hakika sehemuhiyo ni jangwa halihifadhi maji na wala halioteshi mimea  

5. Basi huo ni mfano  wa mtu aliopewa utambuzi katika dini na mwenyezimungu akamnufaisha na yale aliyonitumanayo kwayo, akayatambua na akawaelimisha watu wengine,na mfano wa Yule ambaye  hakuyapa kipaumbele wala hakukubali mwongozo wa mwenyezimungu ambao nimetumwa kwao.(Imepokelewa na Imam Bukhari na Muslimu).

Tafsiri za Hadithi

عن أبي موسى الأشعريِّ، عن النبيِّ ﷺ قال:«مَثَلُ ما بعَثَني اللهُ به من الهُدى والعِلم، كمَثَل الغَيث الكثيرِ أصاب أرضًا: فكان منها نَقِيَّةٌ، قبِلَت الماءَ، فأنبتَت الكَلَأَ والعُشبَ الكثير، وكانت منها أجادبُ، أمسكت الماءَ، فنفعَ اللهُ بها الناسَ، فشَرِبوا وسَقَوْا وزرعوا، وأصابت منها طائفةٌ أخرى، إنما هي قِيعانٌ لا تُمسِك ماءً ولا تُنبتُ كلأً، فذلك مثَلُ مَن فَقُه في دِين الله، ونفَعه ما بعَثَني الله به فعَلِم وعَلَّم، ومَثلُ مَن لم يرفَعْ بذلك رأسًا، ولم يَقبَلْ هُدى الله الذي أُرسِلْتُ به» متفق عليه.

Abu Mūsā al-Ash‘arī narrated that the Prophet (peace be upon him) said:1. The guidance and knowledge God, Mighty and Exalted, has sent me with is like a rain that has fallen on a certain land.  2. A portion of it was fertile: it absorbed the water and produced much vegetation and grass.  3. Another portion was hard, retaining the water. God enables people to benefit by it, using the water to drink, give others and cultivate their land.  4. The rain fell on yet another portion that is flat and barren. It neither retains the water nor produces vegetation.  5. This is comparable to one who acquires good understanding of the divine faith and benefits by the message God has given me: he learns and teaches, contrasted to the one who pays no attention to it, rejecting God’s guidance with which I am the Messenger’. 

Abou Moussa Al-Ach’arî , dont Allah est satisfait, rapporte que le Prophète a dit : 1- « L’exemple de ce avec quoi Allah m’a envoyé comme guidée et science est celdu’iune pluie abondante qui tombe sur de la terre : 2- Une partie de cette terre qui était pure a absorbé l’eau, donnédes végétaux et de nombreuses herbes. 3- Une autre partie était aride, elle a retenu l’eau et Allah en a fait profiter les gens qui en burent, en abreuvèrent leur bétail et s’en servirent pour cultiver. 4- La pluie atteignit une autre partie de cette terre, mais qui était stérile. Elle n’ a ni retenu d’ eau ni donné d'herbe. 5- Voici donc, d’une part, l’exemple de celui qui s’est instruit dans la religion d’Allah, à qui Allah a rendu profitable ce avec quoi Il m’a envoyé, quia appris et a enseigné à autrui et, d’autre part, l’exemple de celui qui n’y accorde pas la moindre attention et n’accepte pas la guidée d’Allah avec laquelle j’ai été envoyé. » (Référencé par Al-Boukhari et Moslim).

Dari Abu Musa Al-Asy'ari h dari Nabi g, beliau bersabda,1. “Perumpamaan petunjuk dan ilmu yang Allah mengutusku dengannya, bagaikan hujan lebat yang mengguyur bumi: 2. ada tanah yang subur, bisa menyerap air, sehingga menumbuhkan tanaman dan rerumputan yang banyak; 3. ada tanah keras yang bisa menampung air, dengannya Allah memberikan manfaat untuk manusia, sehingga mereka dapat minum, memberi minum hewan ternak, dan mengairi tanah pertanian dengan air tersebut; 4. Dan ada yang mengenai tanah lainnya, yaitu tanah yang tidak bisa menahan air, tidak pula menumbuhkan tanaman. 5. Seperti itulah perumpamaan orang yang paham terhadap agama Allah dan mengambil manfaat dari apa yang Dia mengutusku dengannya; ia belajar dan mengajarkannya; dan perumpamaan orang yang tidak peduli dan tidak menerima petunjuk Allah yang aku diutus dengannya.” Muttafaq ‘Alaih. 

Kutoka kwa Abuu Mussa Al-Ash-Ariyy (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema,1. Mfano wa aliyonituma kwayo Allah (s.w) miongoni mwa uongofu na elimu, ni kama mfano wa mvua nyingi iliyonyesha katika Ardhi Fulani, 2. Ikawa Ardhi hiyo ni safi ikapokea maji na kuotesha mazao na mimea. 3. Na ikawa sehemu nyingine ni kavu ikapokea maji, na Mwenyezi Mungu akawanufaisha watu kwa mvua hiyo wakanywa na wakanywesheleza mifugo na wakalima mazao. 4. Na ikanyesha sehemu nyingine ya ardhi, hakika sehemuhiyo ni jangwa halihifadhi maji na wala halioteshi mimea  5. Basi huo ni mfano  wa mtu aliopewa utambuzi katika dini na mwenyezimungu akamnufaisha na yale aliyonitumanayo kwayo, akayatambua na akawaelimisha watu wengine,na mfano wa Yule ambaye  hakuyapa kipaumbele wala hakukubali mwongozo wa mwenyezimungu ambao nimetumwa kwao.(Imepokelewa na Imam Bukhari na Muslimu).

Miradi ya Hadithi