عَنْ طَارِقِ بْنِ شِهَابٍ قَالَ: أَوَّلُ مَنْ بَدَأَ بِالخُطْبَةِ يَوْمَ العِيدِ قَبْلَ الصَّلاةِ مَرْوَانُ، فَقَامَ إِلَيْهِ رَجُلٌ، فَقَالَ: الصَّلاةُ قَبْلَ الخُطْبَةِ، فَقَالَ: قَدْ تُرِكَ مَا هُنَالِكَ فَقَالَ أَبُو سَعِيدٍ رضي الله عنه: أَمَّا هذَا فَقَدْ قَضَى مَا عَلَيْهِ؛ سَمِعْتُ رَسُولَ اللهِ ﷺ يَقُولُ: «مَنْ رَأَى مِنْكُمْ مُنْكَرًا فَلْيُغَيِّرْهُ بِيَدِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِلِسَانِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِقَلْبِهِ، وَذَلِكَ أَضْعَفُ الإِيمَانِ»

Kutoka kwa Tariq bin Shihaab amesema:

Mtu wa kwanza aliyeanza khutba ya siku ya Idi kabla ya swala ni Marwan, na mtu mmoja akasimama karibu naye na kumwambia: “Swala ni kabla ya khutba.” Akasema, “Kilichopo kimeachwa. Amesema Abu Said Radhiya Allaahu anhu: Ama mtu huyu ametimiza wajibu wake. Nimemsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani zimshukie akisema: “Yeyote miongoni mwenu anayeona kitendo kiovu, basi na akibadilishe kwa mkono wake. Ikiwa hawezi, basi kwa ulimi wake. Ikiwa hawezi, basi kwa moyo wake, na hiyo ndiyo imani dhaifu zaidi”

Tafsiri za Hadithi

عَنْ طَارِقِ بْنِ شِهَابٍ قَالَ: أَوَّلُ مَنْ بَدَأَ بِالخُطْبَةِ يَوْمَ العِيدِ قَبْلَ الصَّلاةِ مَرْوَانُ، فَقَامَ إِلَيْهِ رَجُلٌ، فَقَالَ: الصَّلاةُ قَبْلَ الخُطْبَةِ، فَقَالَ: قَدْ تُرِكَ مَا هُنَالِكَ فَقَالَ أَبُو سَعِيدٍ رضي الله عنه: أَمَّا هذَا فَقَدْ قَضَى مَا عَلَيْهِ؛ سَمِعْتُ رَسُولَ اللهِ ﷺ يَقُولُ: «مَنْ رَأَى مِنْكُمْ مُنْكَرًا فَلْيُغَيِّرْهُ بِيَدِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِلِسَانِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِقَلْبِهِ، وَذَلِكَ أَضْعَفُ الإِيمَانِ»

Ṭāriq ibn Shihāb narrated:  1. The first to start with the speech, i.e., the khuṭbah, before the prayer on an Eid Day was Marwān. A man stood up and said to him: ‘The prayer is offered before the speech’. He said: ‘This has been left out’.  2. Abu Saīd said: ‘This one has discharged his duty’.  3. I heard God’s Messenger (peace be upon him) say: “Whoever of you sees a wrongful action should change it with his hand.  4. and if he is unable to do so, then with his tongue.  5. and if he is unable to do that, then with his heart. This [last one] is the weakest degree of faith’.

Tariq Ibn Chihab a dit : 1.Le premier à avoir commencé par le sermon avant la prière le jour de l’Aïd estMarwane. Un homme se leva pour lui dire : « La prière doit être accomplie avant le sermon ». Marwane répondit :« Ceci a été délaissé ». 2.Abou Sa’id , qu’Allah a agréé, a dit : « Quant à celui-ci, il s’est a cquitté de ce qu’il devait». 3.J’ai entendu le Messager d’Allah       dire : « Celui d’ entre vous qui voit quelque chose de blâmable, qu’il le change avec sa main,4.s’il ne le peut pas, qu’il le fasse avec sa langue 5.et s’il ne le peut pas, qu’il le fasse avec son cœur. Ceci est le minimum que la foi exige »

Dari Tháriq bin Syiháb, beliau berkata, “Orang yang pertama kali khotbah sebelum shalat Id adalah Marwan. Lantas seorang laki-laki menghampirinya seraya berkata, ‘Shalat dikerjakan sebelum khotbah.’ Lalu ia menjawab, ‘Metode seperti itu sudah berlalu.’” Lantas Abu Sa’id berkata, “Adapun laki-laki ini, ia telah menunaikan kewajibannya. Aku pernah mendengar Rasulullah bersabda, ‘Barang siapa di antara kalian melihat suatu kemungkaran, maka hendaklah dia mengubahnya dengan tangannya, Jika tidak mampu, maka dengan lisannya, Jika tidak mampu, maka dengan hatinya, dan itulah selemah-lemahnya iman.’

Kutoka kwa Tariq bin Shihaab amesema: Mtu wa kwanza aliyeanza khutba ya siku ya Idi kabla ya swala ni Marwan, na mtu mmoja akasimama karibu naye na kumwambia: “Swala ni kabla ya khutba.” Akasema, “Kilichopo kimeachwa. Amesema Abu Said Radhiya Allaahu anhu: Ama mtu huyu ametimiza wajibu wake. Nimemsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani zimshukie akisema: “Yeyote miongoni mwenu anayeona kitendo kiovu, basi na akibadilishe kwa mkono wake. Ikiwa hawezi, basi kwa ulimi wake. Ikiwa hawezi, basi kwa moyo wake, na hiyo ndiyo imani dhaifu zaidi”

Miradi ya Hadithi