عن أبي هُريرةَ رضي الله عنه، قال: قال رسولُ الله ﷺ: «أيُّها الناسُ، إن اللهَ طيِّبٌ لا يَقبَل إلا طَيِّبًا،وإن اللهَ أمَر المؤمنين بما أمر به المرسَلين، فقال: {يَا أَيُّهَا الرُّسُلُ كُلُوا مِنَ الطَّيِّبَاتِ وَاعْمَلُوا صَالِحًا} [المؤمنون: 51]، وقال: {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُلُوا مِنْ طَيِّبَاتِ مَا رَزَقْنَاكُمْ} [البقرة: 172]، ثم ذكَر الرجُل يُطِيل السَّفَرَ أَشْعَثَ أَغْبَرَ، يَمُدُّ يَدَيْهِ إلى السماء: يا ربِّ، يا ربِّ، ومطعمُه حرامٌ، ومشرَبُه حرامٌ، ومَلبسُه حرامٌ، وغُذِيَ بالحرام، فأنَّى يُستجاب لذلك؟!»

Kutoka kwa Abu Hurayra Mwenyezi Mungu awe radhi naye amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie amesema:

“Enyi watu, Mwenyezi Mungu ni mzuri na hapokei ila kizuri. Na Mwenyezi Mungu amewaamrisha Waumini yale aliyo waamrisha Mitume, akasema: “Enyi Mitume kuleni vyakula bora na mtende mema” [Al-Muuminun: 51], na akasema: “Enyi mlio amini kuleni vyakula bora tulivyo kupeni katika riziki” [Al-Baqara: 172] 3- Kisha Mtume akamtaja alie safari safari ndefu iliyechafuka na vumbi, akinyoosha mikono yake mbinguni: Ewe Mola Mlezi, Mola Mlezi, na chakula chake ni haramu, na kinywaji chake ni haramu, na nguo yake ni haramu, Alilishwa vitu vilivyoharamishwa, ni vipi atajibiwa?!”

Tafsiri za Hadithi

عن أبي هُريرةَ رضي الله عنه، قال: قال رسولُ الله ﷺ: «أيُّها الناسُ، إن اللهَ طيِّبٌ لا يَقبَل إلا طَيِّبًا،وإن اللهَ أمَر المؤمنين بما أمر به المرسَلين، فقال: {يَا أَيُّهَا الرُّسُلُ كُلُوا مِنَ الطَّيِّبَاتِ وَاعْمَلُوا صَالِحًا} [المؤمنون: 51]، وقال: {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُلُوا مِنْ طَيِّبَاتِ مَا رَزَقْنَاكُمْ} [البقرة: 172]، ثم ذكَر الرجُل يُطِيل السَّفَرَ أَشْعَثَ أَغْبَرَ، يَمُدُّ يَدَيْهِ إلى السماء: يا ربِّ، يا ربِّ، ومطعمُه حرامٌ، ومشرَبُه حرامٌ، ومَلبسُه حرامٌ، وغُذِيَ بالحرام، فأنَّى يُستجاب لذلك؟!»

Abu Hurayrah narrated that God’s Messenger (peace be upon him) said:  1. People! [Know that] God is good and He only accepts what is good.  2. God has commanded the believers the same as He commanded messengers, as He says: ‘Messengers! Eat of that which is wholesome, and do good deeds: I certainly have full knowledge of all that you do’. (23: 51) And: ‘Believers, eat of the wholesome things We have provided for you’. (2: 172)  3. He then mentioned the case of a man who goes on a long travel, uncouth with dust on his body. He raises his hands to the sky and says, ‘My Lord! My Lord!’ Yet, his food is unlawfully earned; his drink is unlawfully earned; his clothes are unlawfully earned; and he was fed, when young, with what was unlawfully earned. How can such a supplication be answered? Related by Muslim, 1015.

Abou Hourayra, qu’Allah a agréé, rapporte que le Messager d’Allah a dit :1. ‘‘ Ô gens, Allah est bon et n’accepte que ce qui est bon 2. et Allah ordonna aux croyants ce qu’il a ordonné aux messagers lorsqu’Il dit: gÔ Messagers ! Mangez de ce qui est permis et agréable et faites du bien.g [Sourate Al-Mou’ minoune : 51] et qu’ Il dit : gÔ les croyants ! Mangez des (nourritures) licites que Nous vous avons attribuées.g [Sourate Al-Baqara : 172]. 3. Puis il mentionna ‘‘ l’homme qui fait un long voyage au point d’être hirsute et recouvert de poussière et qui tend les bras vers le ciel en disant : ‘‘ Ô Seigneur, ô Seigneur ’’ alors que sa nourriture est illicite, sa boisson est illicite, ses habits sont illicites et qu’il a été nourri de l’ illicite. Comment pourrait-il donc être exaucé ? ’’

Dari Abu Hurairah, beliau berkata, Rasulullah bersabda,  “Wahai manusia, sesungguhnya Allah Mahabaik dan tidak menerima kecuali dari yang baik. Dan sesungguhnya Allah memerintahkan kaum mukminin sebagaimana yang diperintahkan kepada para rasul, Allah berfirman, ‘Wahai para rasul! Makanlah dari (makanan) yang baik-baik, dan kerjakanlah kebajikan. Sungguh, Aku Maha Mengetahui apa yang kamu kerjakan.’(QS. Al-Mu`minún: 51) Dia juga berfirman, ‘Wahai orang-orang yang beriman! Makanlah dari rezeki yang baik yang Kami berikan kepadamu.’”(QS. Al-Baqarah: 172) Kemudian beliau bercerita tentang seorang laki-laki yang sedang dalam perjalanan jauh, rambutnya kusut dan berdebu, ia menengadahkan kedua tangannya ke arah langit seraya berkata, “Wahai Tuhanku, wahai Tuhanku,” sedangkan makanan dan minuman yang ia konsumsi haram, pakaian yang ia kenakan haram, dan diberi makanannya yang haram, mana mungkin doanya terkabul?!”

Kutoka kwa Abu Hurayra Mwenyezi Mungu awe radhi naye amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie amesema: “Enyi watu, Mwenyezi Mungu ni mzuri na hapokei ila kizuri. Na Mwenyezi Mungu amewaamrisha Waumini yale aliyo waamrisha Mitume, akasema: “Enyi Mitume kuleni vyakula bora na mtende mema” [Al-Muuminun: 51], na akasema: “Enyi mlio amini kuleni vyakula bora tulivyo kupeni katika riziki” [Al-Baqara: 172] 3- Kisha Mtume akamtaja alie safari safari ndefu iliyechafuka na vumbi, akinyoosha mikono yake mbinguni: Ewe Mola Mlezi, Mola Mlezi, na chakula chake ni haramu, na kinywaji chake ni haramu, na nguo yake ni haramu, Alilishwa vitu vilivyoharamishwa, ni vipi atajibiwa?!”

Miradi ya Hadithi