عن أبي هريرةرضي الله عنه أن رسول الله ﷺ قال: «أَحَبُّ الْبِلَادِ إِلَى اللهِ مَسَاجِدُهَا،وَأَبْغَضُ الْبِلَادِ إِلَى اللهِ أَسْوَاقُهَا»

Kutoka kwa Abu Hurayrah Mwenyezi Mungu awe radhi naye kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani zimshukie amesema:

“Nyumba zinazopendwa zaidi na Mwenyezi Mungu ni misikiti yake. Maeneo yanayochukiwa zaidi na Mwenyezi Mungu ni Masoko ’’.

Tafsiri za Hadithi

عن أبي هريرةرضي الله عنه أن رسول الله ﷺ قال: «أَحَبُّ الْبِلَادِ إِلَى اللهِ مَسَاجِدُهَا،وَأَبْغَضُ الْبِلَادِ إِلَى اللهِ أَسْوَاقُهَا»

Abu Hurayrah narrated that God’s Messenger (peace be upon him) said:  1. The places God loves best in all lands are their mosques  2. and the ones He most dislikes are their markets.   Related by Muslim, 671

Abou Hourayra, qu’Allah a agréé, rapporte que le Messager d’Allah a dit :1.‘‘ La partie d’une contrée la plus aiméepar Allah est ses mosquées 2. et la partie d’une contrée la plus détestéepar Allah est ses marchés ’’

Dari Abu Hurairah, bahwasanya Rasulullah bersabda, “Negeri yang paling dicintai Allah adalah masjid-masjidnya Dan negeri yang paling dibenci Allah adalah pasar-pasarnya.”

Kutoka kwa Abu Hurayrah Mwenyezi Mungu awe radhi naye kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani zimshukie amesema: “Nyumba zinazopendwa zaidi na Mwenyezi Mungu ni misikiti yake. Maeneo yanayochukiwa zaidi na Mwenyezi Mungu ni Masoko ’’.

Miradi ya Hadithi