عن أبي هُرَيرة رضي الله عنه، قال: خطَبَنا رسولُ الله ﷺ، فقال: «أيُّها الناسُ، قد فرَضَ اللهُ عليكم الحجَّ؛ فحُجُّوا»، فقال رجُلٌ: أكلَّ عامٍ يا رسولَ الله؟ فسكَتَ حتى قالها ثلاثًا، فقال رسول الله ﷺ: «لو قلتُ: نَعمْ، لوجَبتْ، ولَمَا استطعتم». ثم قال: «ذَروني ما تركتُكم؛ فإنما هلَك مَن كان قبلَكم بكثرة سؤالهم، واختلافهم على أنبيائهم، فإذا أمرتُكم بشيءٍ فأْتوا منه ما استطعتم، وإذا نَهيتكم عن شيء فدَعوه»


Kutoka kwa Abu Hurairah Mwenyezi Mungu awe radhi naye ambaye amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu Amani iwe juu yake alituhutubia na kusema: “Enyi watu, Mwenyezi Mungu amekufaradhisheni Hija; nendeni mkahiji, Akasema mtu mmoja : Je ni kila mwaka ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Alinyamaza hadi akasema mara tatu. Akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani zimshukie: “Lau ningesema: Ndio, ingeli kuwa ni wajibu, na msingeliweza. Kisha akasema: Niachieni katika yale ambayo sikukuambieni. Waliangamia walio kuwa kabla yenu kwa sababu ya wingi wa maswali  na kutofautiana kwao na Manabii wao .. Basi nikikuamrisheni kufanya jambo, basi lifanyeni kadiri muwezavyo, na nikikukatazeni, basi liacheni.” 

Tafsiri za Hadithi

عن أبي هُرَيرة رضي الله عنه، قال: خطَبَنا رسولُ الله ﷺ، فقال: «أيُّها الناسُ، قد فرَضَ اللهُ عليكم الحجَّ؛ فحُجُّوا»، فقال رجُلٌ: أكلَّ عامٍ يا رسولَ الله؟ فسكَتَ حتى قالها ثلاثًا، فقال رسول الله ﷺ: «لو قلتُ: نَعمْ، لوجَبتْ، ولَمَا استطعتم». ثم قال: «ذَروني ما تركتُكم؛ فإنما هلَك مَن كان قبلَكم بكثرة سؤالهم، واختلافهم على أنبيائهم، فإذا أمرتُكم بشيءٍ فأْتوا منه ما استطعتم، وإذا نَهيتكم عن شيء فدَعوه»

Abu Hurayrah narrated, saying:  1. God’s Messenger (peace be upon him) addressed us and said: ‘God has made the hajj obligatory to you, people, so perform the hajj’.  2. A man said: “Every year, Messenger of God?” The Prophet remained silent while the man repeated his question three times.  3. God’s Messenger said: ‘Had I said, “Yes”, it would be a duty and you would not be able to fulfil it’.  4. He then added: ‘When I leave out something, let it be.  5. People before you were ruined by asking too many questions and by their disobedience of their prophets.  6. When I give you an order, fulfil it as best you can, and if I prohibit you something, abandon it’. Related by Muslim, 1337.

﴾Et c’est un devoir envers Allah pour les gens qui ont les moyens, d’aller faire le pèlerinage de la Maison. Et quiconque ne croit pas... Allah Se passe largement des mondes﴿. [Sourate Al ‘Imr ne : 97] Abou Hourayra, qu’Allah a agréé, a dit: 1- Le Messager d’Allah« Ô gens, Allah vous a imposé d’accomplir le pèlerinage, alors accomplissez-le ». Un homme demanda : « Chaque année, ô Messager d’Allah? ». Le Messager d’Allah puis il dit : « Si j’avais dit oui, cela aurait été pour vous une obligation et vous n’auriez pas pu l’accomplir ». Ensuite, il dit : « Ne me posez pas de question si je ne vous dis rien, car ceux qui vous ont précédés n'ont été perdus qu’à cause de leurs nombreuses questions et leurs allées et venues auprès de leurs prophètes. Ainsi, lorsque je vous ordonne quelque chose, faites-en ce que vous pouvez et lorsque je vous défends quelque chose, délaissez-la » 

Dari Abu Hurairah h, beliau berkata, 1. Rasulullah g berkhotbah kepada kami, beliau bersabda, “Wahai manusia, Allah telah mewajibkan bagi kalian ibadah haji, maka berhajilah! 2. Lantas ada seorang laki-laki bertanya, ‘Wahai Rasulullah, apakah setiap tahun?’ Beliau tetap diam sampai laki-laki itu bertanya tiga kali. 3. Rasulullah g bersabda, ‘Kalau aku katakan ‘Iya’ niscaya akan diwajibkan, dan kalian tidak akan sanggup.’ 4. Kemudian beliau bersabda, ‘Jangan tanyakan apa yang aku biarkan bagi kalian. 5. Karena sesungguhnya perkara yang membinasakan umat terdahulu sebelum kalian adalah banyak bertanya dan perselisihan mereka terhadap nabi-nabi mereka. Apabila aku memerintahkan sesuatu maka kerjakanlah semampu kalian, dan jika aku melarang sesuatu, maka tinggalkanlah

Kutoka kwa Abu Hurairah Mwenyezi Mungu awe radhi naye ambaye amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu Amani iwe juu yake alituhutubia na kusema: “Enyi watu, Mwenyezi Mungu amekufaradhisheni Hija; nendeni mkahiji, Akasema mtu mmoja : Je ni kila mwaka ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Alinyamaza hadi akasema mara tatu. Akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu rehma na Amani zimshukie: “Lau ningesema: Ndio, ingeli kuwa ni wajibu, na msingeliweza. Kisha akasema: Niachieni katika yale ambayo sikukuambieni. Waliangamia walio kuwa kabla yenu kwa sababu ya wingi wa maswali  na kutofautiana kwao na Manabii wao .. Basi nikikuamrisheni kufanya jambo, basi lifanyeni kadiri muwezavyo, na nikikukatazeni, basi liacheni.” 

Miradi ya Hadithi