عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ، عَنِ النَّبِيِّ ﷺ قَالَ: «إِنَّ الدِّينَ يُسْرٌ، وَلَنْ يُشَادَّ الدِّينَ أَحَدٌ إِلَّا غَلَبَهُ، فَسَدِّدُوا وَقَارِبُوا، وَأَبْشِرُوا،وَاسْتَعِينُوا بِالْغَدْوَةِ وَالرَّوْحَةِ وَشَيْءٍ مِنَ الدُّلْجَةِ»


00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي
00:00
00:00
تحميل الملف الصوتي

Kutoka kwa Abu Hurayrah, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kutoka kwa Mtume, Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema:

1- “Dini ni rahisi, 

2- Hakuna atakayeifanya dini kuwa ngumu ila itamshinda. 

3- Basi semeni kweli na muwaite watu karibu. 

4- Na toeni bishara njema. 

5- Na tafuteni msaada asubuhi na mchana na nyakati za usiku.” .

Miradi ya Hadithi